SEMINA YA MAFUNZO YA AFYA YA JAMII CHF/TIKA KIBAHA

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Halima Kihemba, Mkurugenzi wa Hamashauri hiyo, Jenifa Omole na Naibu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Hamis Mdee, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa halmashauri hiyo, baada ya kufungua mafunzo hayo
Mmoja wa madiwani akitoa shukrani baada ya mkutano huo kufunguliwa

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza (kulia) akihutubia wakati wa uzinduzi wa mafunzo kwa ajili ya uanzishaji wa wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF/TIKA), kwa Halmashauri ya Mji wa Kibaha, mjini Kibaha. Kutoka kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Hamis Mdee na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Jenifa Omole.

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Halima Kihemba akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza kufungua mkutano huo
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza (kushoto) akiagana na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Hamis Mdee, mara baada ya kupiga picha na viongozi wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha, wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa ajili ya uanzishaji wa wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF/TIKA) katika Halmashauri hiyo, mjini Kibaha
Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa gazeti la Jambo Leo, Grace Michael akijitambulisha katika mkutano huo
Mmoja wa madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha,akitambulisha wakati wa mkutano huo

Baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha wakiwemo madiwani, wakihudhuria mafunzo hayo.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Jenifa Omole akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano

Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Hamis Mdee (kushoto), akielezea umuhimu wa wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF/TIKA), wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa ajili ya uanzishaji wa wa Mfuko huo kwa Halmashauri ya Mji wa Kibaha, mkoani Pwani jana.Kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Jenifa Omole.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI