MVUNGI ASHAMBULIA WANAHABARI KUHUSU SAKATA LAO NA KAFULILA

Mkuu wa Idara ya Katiba, Sheria na Haki za Binadamu wa NCCR-Mageuzi, Sengondo Mvungi akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, ambapo alilalamikia vyombo vya habari kwamba viliandika visivyo uamuzi wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, kuhusu shauri la Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila alilolipeleka mahakamani kuomba zuio la hatua zilizochukuliwa dhidi yake na chama hicho. Kushoto ni Martine Juju, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho.
Orodha ya Viongozi waliowahi kuwa wenyeviti wa chama hicho
Orodha ya waliowahi kuwa makatibu wa chama hicho

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA