Wazazi,walezi na wanafunzi wa shule mbalimbali zilizoko Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Mbeya, wakiangalia matokea ya wanafunzi wa darasa la saba yaliyotangazwa na Serikali juzi, kama walivyonaswa na kamera yetu wilayani humo . Shule ya Msingi ya Uwata iliyopo jijini Mbeya imeshika nafasi ya kwanza kimkoa na ya mwisho ni Shule ya Msingi Masanyika iliyopo wilayani Mbozi.
MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments