BETHDEI YA CONSOLATHA MAHANGA YAFANA

Mishumaa iliyopo kwenye keki iliyoandaliwa maalumu kwa Mtoto Consolatha Mahanga, ikiwashwa ikiwa ni ishara ya mtoto huyo kuadhimisha miaka 14 ya kuzaliwa kwake. Hafla hiyo ilifanyika katika Mgahawa wa Breakpoint, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

Consolatha 'CONSO' akikata keki wakati hafla ya kuadmidha kumbukumbu  ya kutimiza miaka 14 ya kuzaliwa kwake

 Conso akisaidiwa na dadake, Happy (kushoto) pamoja na mdogo wake Upendo kukata keki


Dada Grace Michael ambaye ni mwanafamilia wa karibu akilishwa keki na Conso

Conso akilishwa keki na dadake Happy

                                                      Sasa ni wakati wa kujichana msosi
              Conso akilishwa keki na Irene Mark ambaye ni rafiki wa karibu wa Grace Michael
Ilikuwa ni furaha ya aina yake

                                    Mwanafamilia Grace Michael akimnywesha juisi Conso
 Walipata wasaa pia wa kutembelea Jumba la kibiashara la Quality Centre, lililopo Barabara ya Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA