BETHDEI YA CONSOLATHA MAHANGA YAFANA

Mishumaa iliyopo kwenye keki iliyoandaliwa maalumu kwa Mtoto Consolatha Mahanga, ikiwashwa ikiwa ni ishara ya mtoto huyo kuadhimisha miaka 14 ya kuzaliwa kwake. Hafla hiyo ilifanyika katika Mgahawa wa Breakpoint, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

Consolatha 'CONSO' akikata keki wakati hafla ya kuadmidha kumbukumbu  ya kutimiza miaka 14 ya kuzaliwa kwake

 Conso akisaidiwa na dadake, Happy (kushoto) pamoja na mdogo wake Upendo kukata keki


Dada Grace Michael ambaye ni mwanafamilia wa karibu akilishwa keki na Conso

Conso akilishwa keki na dadake Happy

                                                      Sasa ni wakati wa kujichana msosi
              Conso akilishwa keki na Irene Mark ambaye ni rafiki wa karibu wa Grace Michael
Ilikuwa ni furaha ya aina yake

                                    Mwanafamilia Grace Michael akimnywesha juisi Conso
 Walipata wasaa pia wa kutembelea Jumba la kibiashara la Quality Centre, lililopo Barabara ya Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA