BETHDEI YA CONSOLATHA MAHANGA YAFANA

Mishumaa iliyopo kwenye keki iliyoandaliwa maalumu kwa Mtoto Consolatha Mahanga, ikiwashwa ikiwa ni ishara ya mtoto huyo kuadhimisha miaka 14 ya kuzaliwa kwake. Hafla hiyo ilifanyika katika Mgahawa wa Breakpoint, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

Consolatha 'CONSO' akikata keki wakati hafla ya kuadmidha kumbukumbu  ya kutimiza miaka 14 ya kuzaliwa kwake

 Conso akisaidiwa na dadake, Happy (kushoto) pamoja na mdogo wake Upendo kukata keki


Dada Grace Michael ambaye ni mwanafamilia wa karibu akilishwa keki na Conso

Conso akilishwa keki na dadake Happy

                                                      Sasa ni wakati wa kujichana msosi
              Conso akilishwa keki na Irene Mark ambaye ni rafiki wa karibu wa Grace Michael
Ilikuwa ni furaha ya aina yake

                                    Mwanafamilia Grace Michael akimnywesha juisi Conso
 Walipata wasaa pia wa kutembelea Jumba la kibiashara la Quality Centre, lililopo Barabara ya Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.