SPIKA MAKINDA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI WA BUNGE

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda (Mb) akiongoza kikao cha Kamati ya uongozi ya bunge mara baada ya kipindi cha maswali na majibu Bungeni Dodoma Leo. kamati ya Uongozi imekaa kupitia upya ratiba ya mkutano wa Bunge ulioanza leo kwa lengo la kuboresha na kupanga siku ya kujadili miswada mbalimbali itakayowasilishwa Bungeni. Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA