ACHA SHERIA MKONONI KAKA, HAYA TWENDE KITUONI.


Askari kanzu wa jeshi la polisi Manispaa ya Morogoro wakiwa
wamemdhibiti kijana anyedaiwa kuwa ni mwanajeshi baada ya kudaiwa kumpiga kichwa kijana ambaye alkivaa nguo zinazofanana na mavazi ya jeshi katika eneo la stendi
kuu ya daladala ziendazo nje ya mji huo na wananchi kuanza kumzengea ili wamtwange kabla ya kuokolewa na askari hao na kupelekwa kituo kikuu
cha polisi kati mkoani hapa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI