AJALI MBAYA JANGWANI DAR

Askari wa Kikosi cha Usalama barabarani (kushoto), akiwa amefika kwenye tukio la ajali ya gari namba T 992 ALB, lililoharibika vibaya baada ya kugonga nyuma ya daladala namba T 776 eneo la Jangwani, Dar es Salaam leo. Dereva wa gari hilo anayedaiwa kuwa alikuwa anaendesha kwa mwendo wa kasi, alijeruhiwa na kukimbizwa Hospitali ya Muhimbili kwa matibabu. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.