Ajali yauwa mshauri wa Kabila

Mshauri mwandamizi wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo, amekufa kwenye ajali ya ndege.

Mshauri huyo, Augustin Katumba Mwanke, alikufa pamoja na rubani, wakati ndege hiyo ya kibinafsi ilipuanguka karibu na mji wa Bukavu, kusini mwa nchi.

Waziri wa Fedha, Augustin Matata Ponyo, na abiria wengine walijeruhiwa vibaya.

Augustin Matata Ponyo, gavana wa Kivu Kusini, Marcellin Cishambo Rohuya, na mshauri mwengine wa rais, Antoine Ghonda, inaarifiwa waliumia vibaya.

Ndege hiyo ilikuwa inasafiri kutoka Kinshasa kuelekea Kivu.

Sababu ya ajali hiyo haijulikani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI