Ali Kiba akiwa jukwaani.
Akiwatia mori mashabiki wake.
Msanii wa Hip Hop, ‘Roma’, akipagawisha mashabiki.
Muimbaji Rama Pentagon akiwa kazini.
Mzee Yusuf akitoa burudani.
Msanii chipukizi Dogo Lila akipagawisha kwa mashabiki zake.
Akiwa na mdogo wake, Abdul Kiba (kushoto).
…Akionyesha uwezo wa kucheza na wacheza kiduku wake.
Kiongozi wa Extra Bongo, Ally Choki (katikati), akiongoza safu ya waimbaji.
Mpiga drums wa bendi hiyo James Kibosho akiwajibika.
Mmoja wa washiriki wa shindano la ‘Cheza, Vaa, Imba Kama Rihanna’ akiwania kufuzu fainali ya shindano hilo.
Wanenguaji wa bendi wakionyesha uwezo wao.
Mwalimu wa ‘kina Rihanna’ akiwa na wanafunzi wake.
Waimbaji wa Jahazi Modern Taarab, wakiwajibika.
Washiriki ‘Kumi Bora’ wakiwa katika pozi baada ya kufuzu.
---
MAKAMUZI ya wanamuziki Ali Kiba’ Ibrahim Mussa ‘Roma’ na Bendi ya Extra Bongo ‘Next Level’, Jahazi Modern Taarab, Dogo Lila na shindano la ‘ Vaa, Imba na Cheza Kama Rihanna’, usiku wa kuamkia leo wametikisa vilivyo katika kituo cha burudani cha Dar Live.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.