ATHARI ZILIZOJITOKEZA BAADA YA MWEKEZAJI WA KAPUNGA RICE PROJECT KUMWAGA SUMU.

Mguu ya Bwana Benjamini Hebel (44) mmoja wa wakazi wa Kijiji cha Kapunga, wilaya ya Mbrani mkoa wa Mbeya ilivyoharibika baada ya Mwekezaji wa Kapunga Rice Project Bwana Wally Vermaak. kumwaga sumu kwa kutumia ndege katika mashamba ya wananchi kufutia mgogoro wa kugombania ardhi baina ya wananchi na mwekezaji huyo.
Baadhi ya wananchi walioathirika na Sumu iliyomwagwa na Mwekezaji Bwana Wally Vermaak. katika mashamba yao, na kisha kula mboga iliyomwagiwa sumu, hali iliyopelekea kuhara.
Kibanda hiki nacho kilimwagiwa sumu na mwekezaji wa Kapunga Rice Project Bwana Wally Vermaak. licha ya wananchi kujihifadhi ndani ya kibanda hicho.
Sehemu ya mimea ya mpunga na mahindi iliyonyauka katika mashamba ya wananchi wa Kijiji cha Kapunga baada ya kumwagiwa sumu na Mwekezaji wa Kapunga rice Project Bwana Wally Vermaak. .
Sehemu ya mimea ya mahindi iliyonyauka katika mashamba ya wananchi wa Kijiji cha Kapunga baada ya kumwagiwa sumu na Mwekezaji wa Kapunga rice Project Bwana Wally Vermaak..
Mtoto huyu alikuwepo shambani wakati mwekezaji akimwaga sumu mashambani.
Sehemu ya mimea ya mpunga na mahindi iliyonyauka katika mashamba ya wananchi wa Kijiji cha Kapunga baada ya kumwagiwa sumu na Mwekezaji wa Kapunga rice Project Bwana Wally Vermaak..
Sehemu ya mimea ya mpunga na mahindi iliyonyauka katika mashamba ya wananchi wa Kijiji cha Kapunga baada ya kumwagiwa sumu na Mwekezaji wa Kapunga rice Project Bwana Wally Vermaak.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Kapunga Bwana Ramadhani Nyoni akionesha turubai ambalo lilitumika kufunika mbegu na kisha kunyunyiziwa. CHANZO;BLOG YA MBEYA YETU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA