Australia yaonya Ulaya isijisahau

Imebadilishwa: 4 Februari, 2012 - Saa 16:08 GMT

Waziri wa Mashauri ya Nchi za Nje wa Australia ameonya kuwa Ulaya imeshughulishwa mno na matatizo yake ya kiuchumi, hata inakosa kushiriki kwenye mjadala kuhusu kukuwa kwa taifa la Uchina na sehemu nyengine za bara la Asia.

Akizungumza katika mkutano kuhusu usalama unaofanywa mjini Munich, Ujerumani, Kevin Rudd alionya kwamba Ulaya ikiendelea kuzungumza sana, kuna hatari kuwa itauwa mapema uchumi na siasa zake.

Tamko la Bwana Rudd lilitolewa maanani na afisa wa Umoja wa Ulaya anayeshughulika na masoko, Michel Barnier, ambaye alisema Ulaya itaibuka na nguvu na uongozi bora zaidi kutokana na msuko-suko wa hivi sasa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.