U-TURN BLOG NA WADAU WAKE WALA MNUSO NA WATOTO YATIMU KURASINI

Watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha Taifa cha Kurasini kilichopo jijini Dar es Salaam,wakishindana kuvuta kamba wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula na ngua vyenye jumla ya shilingi milioni 10.Vilivyotolewa na Blogs ya U-turn kwa kushirikiana na wasomaji wake wakuu.
.Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba akiwa amebeba mmoja wa watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha kulea watoto yatima cha Kurasini jijini Dar es Salaam.Wakati wa blog ya U-turn kwa kushirikiana na wasomaji wake wakuu walipokwenda kutoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vyakula na nguo vyenye jumla ya shilingi Milioni 10.
Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano akifurahia pamoja na watoto yatima walipofika katika kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu cha Kurasini jijini Dar es Salaam,msaada wa vyakula na vitu mbalimbali uliokuwa na thamani ya shilingi Milioni 10 ulitolewa na U-turn blog kwa ushirikiano wapamoja na wasomaji wakuu wa Blog hiyo.
Vyakula mbalimbali vilivyotolewa kama msaada kwa watoto hao.
Watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha Taifa cha Kurasini kilichopo jijini Dar es Salaam,wakishindana kuvuta kamba wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula na ngua vyenye jumla ya shilingi milioni 10.Vilivyotolewa na Blogs ya U-turn kwa kushirikiana na wasomaji wake wakuu.
Mmoja wa wasanii wanaochipukia Dogo Aslay akiwapagawaisha watoto wa naolelewa katika kituo cha Yatima cha Kurasini cha jijini Dar es Salaam,kwa wimbo wa naenda kusema kwa mama, wakati wa hafla ya Blogs ya U-turn kwa kushirikiana na wasomaji wake wakuu walipokwenda katika kituo hicho kutoa misaada mbalimbali ikiwemo vyakula na nguo vyote vyenye thamani ya shilingi milioni 10.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA