Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (kushoto) akijadiliana jambo na Mbunge wa Kigoma Kusini, Davida Kafulila mara baada ya kuahirishwa kwa kikao cha kwanza cha Mkutano wa Sita wa Bunge mjini Dodoma
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza mara baada ya kuahirishwa kwa kikao cha kwanza cha Mkutao wa sita wa Bunge mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Anne Makinda akisalimiana na Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma mara baada ya kuahirishwa kwa kikao cha kwanza cha Mkutano wa sita wa Bunge mjini humo
Spika wa Bunge, Anne Makinda akitoka ndani ya ukumbi wa Bunge baada ya kuahirisha Kikao cha kwanza cha Mkutano wa Sita wa Bunge la Tanzania mjini Dodoma

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*