DK SHEIN AKUTANA NA MWAKILISHI WA WHO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed shein,akizungumza na Dr. Rufaro R.Chatora,WHO Mwakilishi
wa Shirika la Afya Ulimwenguni,nchini Tanzania,(kushoto) na Waziri wa
Afya Juma Duni Haji,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na
Rais jana.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed shein,akizungumza na Dr. Rufaro R.Chatora,WHO Mwakilishi
wa Shirika la Afya Ulimwenguni,nchini Tanzania,(kushoto) na Waziri wa
Afya Juma Duni Haji,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na
Rais leo.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed shein,akiagana na Dr. Rufaro R.Chatora,WHO Mwakilishi wa
Shirika la Afya Ulimwenguni,nchini Tanzania,(kulia) baada ya
mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI