DK. BILAL AZINDUA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME WILAYA YA MBINGA
akibonyeza kitufye ikiwa ni ishara ya kuzindua rasmi mashine za kuzzalisha umeme, wakati alipotembelea katika mradi huo uliopo Wilayani Mbinga akiwa katika ziara yake ya moa wa Ruvuma, jana februari 16, 2012. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Tanesco, Eng. Boniface
MAKAMU WA RAIS DKT BILAL ATEMBELEA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI WA MAKAA YA MAWE RUANDA (W) MBINGANjombe. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipiga picha ya kumbukumbu na Msanii Ofisa Utamaduni Mstaafu wa Wilaya ya mbinga, Benedict Maundi, baada ya kuzindua rasmi mitambo ya kuzalisha umeme na kuwahutubia wananchi wa Wilaya ya Mbinga akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Ruvuma, leo Februari 16, 2012. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
akipandda mti wa kumbukumbu baada ya kuzindua mashine za kuzalisha umeme Wilaya ya Mbinga,
wakati akiwa katika ziara yake ya mkoa wa Ruvuma jana Februari 16, 2012, ambapo pia alitembelea na kukagua mradi wa uchimbaji wa makaa ya mawe ya Ruanda. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
akipiga makofi mara baada ya kuweka Jiwe la Msingi katika mradi wa mashine za kuzalisha umeme Wilayani Mbinga, wakati
akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Ruvuma jana, februari 16, 2012. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
akiweka Jiwe la Msingi katika mradi wa mashine za kuzalisha umeme Wilayani Mbinga, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Ruvuma jana, februari 16, 2012. Picha na Muhidin akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya uchimbaji Makaa ya Mawe, Tancoal, Graeme Robertson, wakati alipotembelea mradi wa Uchimbaji Makaa ya Mawe unaoendelea eneo
la Ruanda Wilaya ya Mbinga, wakati akiwa katika ziara yake ya mkoa wa Ruvuma jana Februari 16, 2012. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Comments