ENZI ZA MWALIMU NYERERE

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na safu yake ya viongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kwenye Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar enzi hizo. Kwa haraka haraka unaweza kuwaona Mzee Kawawa, Aboud Jumbe, Mzee Cleopa Msuya, Edward Sokoine, Dk. Salmin Amour na Dk. Salim Ahmed Salim.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda