Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila wakipeana mikono leo Dar es Salaam, ikiwa ni ishara ya kupatana kuondoa tofauti zao zilizotokana na sababu za kimuziki zilizodumu kwa miaka miwili. Vijana hao wametanishwa na Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchimbi (kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA).
Waziri Nchimbi akizungumza katika mkutano huo
Ruge akizungumza katika mkutano huo na waandishi wa habari
Mbilinyi ('Sugu' akielezea furaha yake baada ya kupatanishwa na Ruge
Waziri Nchimbi akizungumza katika mkutano huo
Ruge akizungumza katika mkutano huo na waandishi wa habari
Mbilinyi ('Sugu' akielezea furaha yake baada ya kupatanishwa na Ruge
Comments