HATIMAYE MR SUGU NA RUGE WA CLOUDS WAPATANISHWA

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila wakipeana mikono leo Dar es Salaam, ikiwa ni ishara ya kupatana kuondoa tofauti zao zilizotokana na sababu za kimuziki zilizodumu kwa miaka miwili. Vijana hao wametanishwa na Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchimbi (kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA).
Waziri Nchimbi akizungumza katika mkutano huo
Ruge akizungumza katika mkutano huo na waandishi wa habari
Mbilinyi ('Sugu' akielezea furaha yake baada ya kupatanishwa na Ruge

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*