JK ATINGA MWANZA, KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO MIAKA 35 YA CCM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mtoto Maganga mwenye umri wa miaka mitatu ambaye pamoja na mama yake walikuwa katika mojawapo ya vikundi kadhaa vya ngoma za asili zilizomlaki uwanja wa ndege wa Mwanza leo January 4, 2012 alikotua tayari kwa kujiunga na wana CCM kusherehekea miaka 35 ya chama hicho tawala.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokewa katika uwanja wa ndege wa Mwanza leo January 4, 2012 alikotua tayari kwa kujiunga na wana CCM kusherehekea miaka 35 ya chama hicho tawala.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.