KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA, MGANGA MKUU WA SERIKALI WASIMAMISHWA KAZI, MADAKTARI SASA KUPEWA POSHO, GREEN CARD

Capt;Baadhi ya madaktari na wauguzi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao kwenye Hospitali ya taifa ya Muhimbili, Februari 9, 2012.

Habari
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Brandina Nyoni na na Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Deo Mtasiwa wamesimamishwa kazi pupisha uchunguzi wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii. Waziri na Naibu Waziri wa wizara hiyo watashughulikiwa na rais, call allowances za madaktari bingwa ni 25000/= na madaktari wa kawaida ni 20000/=, madaktari watapewa nyumba na green card...kikao kinaendelea .


Madaktari wamekubali offers za serikali na wametoa mwezi mmoja kuona kama kweli serikali inatekeleza kwa dhati ahadi zake.Kesho wataingia kazini

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA