Kifo cha Whitney: hakuna "mkono wa mtu"


Afisa wa uchunguzi mjini Los Angeles, Marekani amesema hakuna dalili za kuwepo na uhalifu katika kifo cha mwimbaji Whitney Houston.

Baada ya kufanya uchunguzi, mtaalam huyo alisema hakuna dalili zozote zinazoonekana kwenye mwili wa Houston na hakuna wasiwasi wa kuwepo na "mkono wa mtu" kwa sasa.

Amesema maafisa bado wanachunguza, lakini hadi wapate matokeo ya uchunguzi mwingine, wataendelea kutazama sababu nyinginezo.

Msanii huyo alikutwa amekufa bafuni katika hoteli moja mjini Los Angeles, siku ya Jumamosi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA