KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM CHAFANYIKA DODOMA
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete,akiendesha Kikao cha kamati Kuu ya Chama hicho katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM Dodoma leo,(wa pili kushoto) Rais Msataafu wa Zanzibar,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Amani Abeid Karume,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,pia Mjumbe wa Kamati Kuu,Dk Ali Mohamed
Shein,kushoto) na Katibu Mkuu wa Chama hicho Taifa Wilson Mkama.
Comments