KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM CHAFANYIKA DODOMA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete,akiendesha Kikao cha kamati Kuu ya Chama hicho katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM Dodoma leo,(wa pili kushoto) Rais Msataafu wa Zanzibar,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Amani Abeid Karume,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,pia Mjumbe wa Kamati Kuu,Dk Ali Mohamed
Shein,kushoto) na Katibu Mkuu wa Chama hicho Taifa Wilson Mkama.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA