YANGA YALAMBA MIFUKO 3 YA SUKARI MTIBWA SUGAR
Mchezaji wa timu ya Yanga Haruna Niyonzima akichuana na beki wa timu ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi kuu ya Vodacom uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa jioni hii jijini Dar es salaam, Mpira umekwisha na Yanga imefanikiwa kuitandika Mtibwa Sugar Magoli 3-0 bila huruma katika kipindi cha pili cha mchezo huo.
Comments