MADAKTARI MABINGWA WAKUTANA NA UONGOZI WA MUHIMBILI

Madaktari mabingwa leo wamekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam, Dk. Njelekela, kujadiliana kuhusu mgogoro wa madaktari, kwa lengo la kufikia muafaka wa suala hilo, ili kunusuru maisha ya wagonjwa nchini. Katika mkutano huo wanahabari hawakuruhusiwa kuingia.

Madaktari hao mabingwa wameazimia kwenda kukuktana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ili Serikali ikae meza moja na madaktari kufikia muafaka huo.


Habari zaidi tutawaletea kadri tutakavyozipata

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda