MADAKTARI MABINGWA WAKUTANA NA UONGOZI WA MUHIMBILI

Madaktari mabingwa leo wamekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam, Dk. Njelekela, kujadiliana kuhusu mgogoro wa madaktari, kwa lengo la kufikia muafaka wa suala hilo, ili kunusuru maisha ya wagonjwa nchini. Katika mkutano huo wanahabari hawakuruhusiwa kuingia.

Madaktari hao mabingwa wameazimia kwenda kukuktana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ili Serikali ikae meza moja na madaktari kufikia muafaka huo.


Habari zaidi tutawaletea kadri tutakavyozipata

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*