MAKAMBA AIBUKIA KANISANI MAZIZINI

Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba akipiga mnada suruali wakati wa harambee ya kuchangia mradi wa ujenzi wa kisima cha maji katika Kanisa la Anglikana Parishi ya Mazizini, Ukonga, Dar es Salaam . Zaidi ya sh. milioni 6 zilichangwa ambapo yeye na familia yake walichanga sh. milioni 2.5.
Makamba akiwahamasisha wazee wa kanisa hilo kuchangia kwa moyo wote mradi huo wa kisima
Makamba akiwachangisha waumini wa kanisa hilo
Makamba akihubiri neno la Bwana kabla ya harambee
Wakifurahia muziki wa injili uliokuwa ukiporomoshwa wakati wa harambee hiyo
Moja ya kikundi cha kwaya kikitumbuiza
Msanii wa muziki anayechipukia, Fungo akifanya vitu vyake
Makamba katikati, akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa kanisa hilo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*