MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AMALIZA ZIARA YA MKOA WA RUVUMA ATUA MKOA WA KATAVI LEO
akisalimiana na Askofu wa Jimbo la Katoliki (W) Mbinga, John Ndimbo, wakati alipofika katika Kanisa Kuu la Katoliki Mtakatifu Kiliani, kwa ajili ya kufanya majumuisho baada ya kumazliza ziara yake ya mkoa huo jana Februari 17, 2012. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Katavi Mkoa wa katavi kwa ajili ya kuanza ziara yake ya siku tatu ya mkoa huo leo Februari 18, 2012. Kushoto ni Mkewe Mama Asha Bilal, na
(kulia) ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Eng. Stella Manyanya. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Mama Asha Bilal, wakifurahia ngoma ya asili ya Mkoa wa Rukwa, wakati walipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Katavi mkoani humo leo Februari 18, kwa ajili ya kuanza ziara ya siku tatu.Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Comments