Mapokezi ya waziri wa Zambia na balozi wa Congo mkoani Kigoma

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Bi. Terezya Huvisa pamoja na ujumbe kutoka Sekretarieti ya Mkoa wa Kigoma wakipokea wageni katika uwanja wa ndege wa Kigoma, ambao ni Waziri wa Elimu ya Msingi na Mazingira wa Zambia Prof. Nkandu Luo (wa pili kulia) na Balozi wa Congo Nchini Tanzania Bw.khalfan Juma Mpango (wa kwanza kushoto). Ugeni huo upo Nchi kuhudhuria Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Mamlaka ya Ziwa Tanganyika. (Picha na Ali Meja)
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Bi. Terezya Huvisa (wa pili kulia),Waziri wa Elimu ya Msingi na Mazingira wa Zambia Prof. Nkandu Luo(wa kwanza kulia) na Balozi wa Congo Nchini Tanzania Bw.khalfan Juma Mpango wakiangalia ngoma ya Warumba - mayanga, mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege mkoani kigoma. Ugeni huo upo Nchi kuhudhuria Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Mamlaka ya Ziwa Tanganyika. (Picha na Ali Meja)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI