MEMBE ALONGA NA WANAHABARI KUHUSU YALIYOJIRI MKUTANO WA AU

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu mambo yaliyojiri wakati wa Mkutano wa Viongozi wa Umoja wa Afrika (AU), uliomalizika hivi karibuni jijini Addis Ababa, Ethiopia. Kulia ni Mkurugenzi wa Afrika wa wizara hiyo, Zuhura Bundara. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari.

Ofisa Habari wa Wizara hiyo, Patricia akimpiga picha picha Bosi wake Membe wakati wa mkutano huo.


Wanahabari wakiwa kazini

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.