Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu mambo yaliyojiri wakati wa Mkutano wa Viongozi wa Umoja wa Afrika (AU), uliomalizika hivi karibuni jijini Addis Ababa, Ethiopia. Kulia ni Mkurugenzi wa Afrika wa wizara hiyo, Zuhura Bundara. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari.
Ofisa Habari wa Wizara hiyo, Patricia akimpiga picha picha Bosi wake Membe wakati wa mkutano huo.
Wanahabari wakiwa kazini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari.
Ofisa Habari wa Wizara hiyo, Patricia akimpiga picha picha Bosi wake Membe wakati wa mkutano huo.
Wanahabari wakiwa kazini
Comments