MKUTANO WA NHIF NA WADAU MKOANI LINDI

Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima y Afya Deogratius Ntunkamazina akisisitiza umuhimu wa kuutumia Mfuko huo kwa manufaa ya Watanzania wote kwenye Mkutano wa wadau uliofanyika mkoani Lindi.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo Emanuel Humba akieleza mambo mbalimbali ya Mfuko huo kwa wadau wake.
Wadau wakifuatlia maenelezo ya Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF
Kikundi cha waendesha pikipiki wakiwa wamesimama wakisubiri kupokea kadi zao za matibabu.(PICHA ZOTE NA GRACE MICHAEL)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda