MPINZANI WA MUTHARIKA AUGUA MOYO

Mkosoaji mkubwa wa Rais Bingu wa Mutharika, wa Malawi, Ralph Kasambara, amepelekwa hospitali kutoka gerezani, baada ya kupata ugonjwa wa moyo.

Watu hao watatu walikamatwa na walinzi wa Bwana Kasambara.

Mahakama nchini humo yaliamuru kuwa Bwana Kasambara aachiliwe huru, lakini gereza limekataa kumfungua.

Inaarifiwa kuwa Bwana Kasambara ana azma ya kuanzisha chama kitachompinga rais kwenye uchaguzi wa mwaka 2014.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA