MPINZANI WA MUTHARIKA AUGUA MOYO

Mkosoaji mkubwa wa Rais Bingu wa Mutharika, wa Malawi, Ralph Kasambara, amepelekwa hospitali kutoka gerezani, baada ya kupata ugonjwa wa moyo.

Watu hao watatu walikamatwa na walinzi wa Bwana Kasambara.

Mahakama nchini humo yaliamuru kuwa Bwana Kasambara aachiliwe huru, lakini gereza limekataa kumfungua.

Inaarifiwa kuwa Bwana Kasambara ana azma ya kuanzisha chama kitachompinga rais kwenye uchaguzi wa mwaka 2014.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.