MWANRI AKABIDHI RIPOTI YA ZIARA YAKE KWA RC IRINGA
Naibu waziri wa TAMISEMI Agrrey Mwanri (katikati) akikabidhi ripoti yake kwa mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Christina Ishengoma kushoto na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Deo sanga kulia akishuhudia
RC Iringa akimkabidhi nakala ya ripoti ya Mwanri mkurugenzi wa Makete Imelda
Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba akipokea ripoti ya Mwanri kwa mkuu wa mkoa wa Iringa kushoto
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Evarista Kalalu Kulia akipokea ripoti hiyo ambayo inaonyesha wilaya yake ya Mufindi imefanya vizuri sana
DC Iringa Aseri Msangi akipokea ripoti kwa niaba ya wilaya ya Kilolo ambako Mhandisi wake amekalia kuti kavu. KWA HISANI YA BLOG YA FRANCIS GODWIN
RC Iringa akimkabidhi nakala ya ripoti ya Mwanri mkurugenzi wa Makete Imelda
Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba akipokea ripoti ya Mwanri kwa mkuu wa mkoa wa Iringa kushoto
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Evarista Kalalu Kulia akipokea ripoti hiyo ambayo inaonyesha wilaya yake ya Mufindi imefanya vizuri sana
DC Iringa Aseri Msangi akipokea ripoti kwa niaba ya wilaya ya Kilolo ambako Mhandisi wake amekalia kuti kavu. KWA HISANI YA BLOG YA FRANCIS GODWIN
Comments