MWANRI AKABIDHI RIPOTI YA ZIARA YAKE KWA RC IRINGA

Naibu waziri wa TAMISEMI Agrrey Mwanri (katikati) akikabidhi ripoti yake kwa mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Christina Ishengoma kushoto na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Deo sanga kulia akishuhudia
RC Iringa akimkabidhi nakala ya ripoti ya Mwanri mkurugenzi wa Makete Imelda
Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba akipokea ripoti ya Mwanri kwa mkuu wa mkoa wa Iringa kushoto
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Evarista Kalalu Kulia akipokea ripoti hiyo ambayo inaonyesha wilaya yake ya Mufindi imefanya vizuri sana
DC Iringa Aseri Msangi akipokea ripoti kwa niaba ya wilaya ya Kilolo ambako Mhandisi wake amekalia kuti kavu. KWA HISANI YA BLOG YA FRANCIS GODWIN

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA