NOTI MPYA ZA MANDELA KUTOLEWA

Afrika Kusini inatoa noti mpya zenye picha ya Nelson Mandela.
Rais Jacob Zuma alitangaza hayo mjini Johannesburg katika kutimiza miaka 22 tangu Bwana Mandela kuachiliwa huru baada ya kifungo kirefu.

Alisema kufunguliwa kwa Bwana Mandela ndio ulikuwa mwanzo wa awamu mpya ya matumaini nchini Afrika Kusini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.