NOTI MPYA ZA MANDELA KUTOLEWA

Afrika Kusini inatoa noti mpya zenye picha ya Nelson Mandela.
Rais Jacob Zuma alitangaza hayo mjini Johannesburg katika kutimiza miaka 22 tangu Bwana Mandela kuachiliwa huru baada ya kifungo kirefu.

Alisema kufunguliwa kwa Bwana Mandela ndio ulikuwa mwanzo wa awamu mpya ya matumaini nchini Afrika Kusini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda