PINDA AENDELEA NA ZIARA BUKOMBE MKOANI SHINYANGA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wananchi baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Masumbwe wilayani Bukombe akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 24, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Mradi wa usambazaji maji safi katika mji mdogo wa Bukombe akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 26, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua asali iliyofungashwa kitalaam wakati alipowatembelea wafugaji wa nyuki katika Hifadhi ya Msitu wa Ushirombo wilayani Bukombe akiwa kayika ziara ya Mkoa wa Shjnyanga, Februari 24, 2010. Kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Nasoro Rufunga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua asali iliyofungashwa kitalaam wakati alipowatembelea wafugaji wa nyuki katika Hifadhi ya Msitu wa Ushirombo wilayani Bukombe akiwa kayika ziara ya Mkoa wa Shinyanga, Februari 24, 2010. Kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Maofisa wa Gereza la Kanegele wilayani Bukombe wakati alipokwenda kwenye gereza hilo kukagua uzalishaji wa mbegu za muhogo akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga, Februari 26, 2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA JOHN KOMBA LITUHI, NYASA

DKT NCHIMBI AAGIZA UJENZI UWANJA WA NDEGE SUMBAWANGA UKAMILIKE HARAKA