Mchezaji Haruna Moshi (kushoto) wa Simba, akichuana na Sunday Paul wa JKT Orjoro katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Haruna maarufu kwa jina la Boban alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumpiga kiwiko mchezaji wa Orjoro.
Kikosi cha Simba, kilichopambana na Orjoro leo. Simba imeshinda mabao 2-0
Kikosi cha Orjoro kilichochuana na Simba leo. Picha na Kamanda Mwaikenda
Kikosi cha Simba, kilichopambana na Orjoro leo. Simba imeshinda mabao 2-0
Kikosi cha Orjoro kilichochuana na Simba leo. Picha na Kamanda Mwaikenda
Comments