SIMBA YAIKUNG'UTA ORJORO 2-0

Mchezaji Haruna Moshi (kushoto) wa Simba, akichuana na Sunday Paul wa JKT Orjoro katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Haruna maarufu kwa jina la Boban alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumpiga kiwiko mchezaji wa Orjoro.
Kikosi cha Simba, kilichopambana na Orjoro leo. Simba imeshinda mabao 2-0
Kikosi cha Orjoro kilichochuana na Simba leo. Picha na Kamanda Mwaikenda

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI