TAIFA STARS NGOMA DROO NA MSUMBIJI

 Ubao wa matangazo Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, ukionesha matokeo yalivyo baada ya mechi ya Taifa Stars na Msumbiji ya kuwania kufuzu michuano ya Fainali za Mataifa Afrika, kumalizika leo jioni
 Mashabiki wa timu ya Taifa ya Msumbiji ambao asilimia kubwa walikodiwa nchini kuishangilia timu hiyo dhidi ya Taifa Stars, lakini ajabu baada ya Taifa Stars asilimia kubwa ya watu hao waliishangilia Stars
 Mpenda soka Ridhiwani Kikwete akiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela wakifurahi walipokutana katika mechi ya Taifa Stars na Msumbiji leo jioni, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU