Ubao wa matangazo Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, ukionesha matokeo yalivyo baada ya mechi ya Taifa Stars na Msumbiji ya kuwania kufuzu michuano ya Fainali za Mataifa Afrika, kumalizika leo jioni
Mashabiki wa timu ya Taifa ya Msumbiji ambao asilimia kubwa walikodiwa nchini kuishangilia timu hiyo dhidi ya Taifa Stars, lakini ajabu baada ya Taifa Stars asilimia kubwa ya watu hao waliishangilia Stars
Mpenda soka Ridhiwani Kikwete akiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela wakifurahi walipokutana katika mechi ya Taifa Stars na Msumbiji leo jioni, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mashabiki wa timu ya Taifa ya Msumbiji ambao asilimia kubwa walikodiwa nchini kuishangilia timu hiyo dhidi ya Taifa Stars, lakini ajabu baada ya Taifa Stars asilimia kubwa ya watu hao waliishangilia Stars
Mpenda soka Ridhiwani Kikwete akiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela wakifurahi walipokutana katika mechi ya Taifa Stars na Msumbiji leo jioni, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Comments