TAIFA STARS NGOMA DROO NA MSUMBIJI

 Ubao wa matangazo Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, ukionesha matokeo yalivyo baada ya mechi ya Taifa Stars na Msumbiji ya kuwania kufuzu michuano ya Fainali za Mataifa Afrika, kumalizika leo jioni
 Mashabiki wa timu ya Taifa ya Msumbiji ambao asilimia kubwa walikodiwa nchini kuishangilia timu hiyo dhidi ya Taifa Stars, lakini ajabu baada ya Taifa Stars asilimia kubwa ya watu hao waliishangilia Stars
 Mpenda soka Ridhiwani Kikwete akiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela wakifurahi walipokutana katika mechi ya Taifa Stars na Msumbiji leo jioni, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA