TAJOA YAANZA KUGAWA MAGAZETI BURE KWA WAFUNGWA

TAJOA YAANZA KAZI KWA KISHINDO


Mkuu wa Gereza la Njombe, Fortunatus Ntani (kushoto) akitazama baadhi ya nakala za magazeti aliyokabidhiwa kwa ajili ya kuwapa wafungwa kutoka kwa Mwenyekiti Mtendaji wa Jumuiko la Wanahabari Tanzania (TAJOA), Simon Mkina. TAJOA imeanzisha programu ya kuwahabarisha wafungwa (HakiHabari) na imeanzia Njombe wakati mkakati ni kuwafikia wafungwa weng zaidi nchini.
Mwenyekiti Mtendaji TAJOA, Simon Mkina, akiwaeleza kitu maofisa wa magereza Njombe baada ya kukabidhi magazeti kwa ajili ya wafungwa kujisomea. TAJOA hutoa habari bure.
Mwenyekiti Mtendaji TAJOA, Simon Mkina,na Makamu Mwenyekiti Fredy Kihwele, wakiwa na maofisa wa magereza Njombe baada ya kukabidhi magazeti kwa ajili ya wafungwa kujisomea. TAJOA hutoa habari bure.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.