TAJOA YAANZA KUGAWA MAGAZETI BURE KWA WAFUNGWA

TAJOA YAANZA KAZI KWA KISHINDO


Mkuu wa Gereza la Njombe, Fortunatus Ntani (kushoto) akitazama baadhi ya nakala za magazeti aliyokabidhiwa kwa ajili ya kuwapa wafungwa kutoka kwa Mwenyekiti Mtendaji wa Jumuiko la Wanahabari Tanzania (TAJOA), Simon Mkina. TAJOA imeanzisha programu ya kuwahabarisha wafungwa (HakiHabari) na imeanzia Njombe wakati mkakati ni kuwafikia wafungwa weng zaidi nchini.
Mwenyekiti Mtendaji TAJOA, Simon Mkina, akiwaeleza kitu maofisa wa magereza Njombe baada ya kukabidhi magazeti kwa ajili ya wafungwa kujisomea. TAJOA hutoa habari bure.
Mwenyekiti Mtendaji TAJOA, Simon Mkina,na Makamu Mwenyekiti Fredy Kihwele, wakiwa na maofisa wa magereza Njombe baada ya kukabidhi magazeti kwa ajili ya wafungwa kujisomea. TAJOA hutoa habari bure.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda