TBL YAZINDUA MTAMBO WA KUSAFISHA MAJI TAKA KUWA SALAMA KWA MATUMIZI YA KAWAIDA YA BINADAMU


Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo (kulia), akifunua pazia

kuonesha jiwe la msingi wakati wa uzinduzi wa mtambo wa nne wa

usafishaji maji yaliyotumika kiwandani kuwa maji salama kwa matumizi

ya binadamu katika hafla iliyofanyika katika Kiwanda cha Kampuni ya Bia

Tanzania (TBL) cha Arusha, mwishoni mwa wiki.Anayeshuhudia uzinduzi

wa mtambo huo uliogharimu sh. bilioni 3.6, ni Mkurugenzi Mtendaji wa

TBL, Robin Goetzsche.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo (kulia), akisalimiana na

viongozi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), alipowasili katika hafla ya

uzinduzi wa mtambo wa nne wa usafishaji maji yaliyotumika kiwandani

kuwa maji salama kwa matumizi ya binadamu katika Kiwanda cha

Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) cha Arusha, mwishoni mwa wiki.Kutoka

kushoto ni Mkurugenzi wa Ufundi wa TBL, Gavin van Wijk, Meneja wa

Kiwanda TBL Arusha,Bert Grobbelaar na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL,

Robin Goetzsche. Wa pili kulia ni Waziri wa viwanda na Biashara ,Dk.

Cyril Chami.


Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo akiwa na viongozi wengine wakitembelea mtambo huo

Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa mtambo huo

Msimamizi wa Mtambo Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) wa kusafisha maji

taka kuwa salama kwa matumizi ya binadamu, Said Lwambo kutoka

Kampuni ya Talbot & Talbot, akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa

Arusha, Magesa Mulongo (wa pili kushoto) na Waziri wa Viwanda na

Biashara, Cyril Chami (wa tatu kushoto) kuhusu usalama wa maji hayo

wakati wa uzinduzi wa mtambo huo uliogharimu sh. bil 3.6 ambao

ulifanyika hivi karibuni katika kiwanda cha TBL Arusha.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎