Uchaguzi kufanyika Jumapili, Senegal

Ndene N'Diaye, anasema uchaguzi mkuu utafayika nchini humo kama ulivyopangwa siku ya Jumapili.

Baadhi ya makundi ya upinzani yametoa wito uchaguzi huo uahirishwe na kuapa kuwa nchi hiyo haitakuwa na uongozi ikiwa Abdoulaye Wade mwenye umri wa miaka 85 atakataa kuanchia madaraka .

Wade anawania muhula wa tatu kuwa rais wa nchi hiyo, licha ya kwamba katiba ya sasa ya haimruhusu kufanya hivyo .

Rais wa zamani wa Nigeria , Olusegun Obasanjo, anakutana na viongozi wa upinzani akiwemo mwanamuziki Youssou N'Dour, kujaribu kutuliza mvutano wa kisiasa.

Youssou N'Dour amekatazwa kugombea wadhifa huo wa urais

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.