Ugiriki yakubali kukata zaidi bajeti

Maelfu ya watu wameandamana katika miji ya Ugiriki ya Athens na Thessaloniki katika siku ya pili ya mgomo wa saa 48, kupinga hatua kali za kiuchumi za serikali.
Polisi wengi wako zamu na usafiri umesimama.

Baraza la mawaziri la Ugiriki limekubali hatua za kupunguza bajeti zaidi, kama yalivoagiza mataifa mengine yananayotumia sarafu ya Euro, ili kuweza kuisaidia Ugiriki kwa dola bilioni kadha, kulipa madeni yake.

Hatua hizo sasa lazima zipate idhini ya bunge la Ugiriki.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA