Ugiriki yakubali kukata zaidi bajeti

Maelfu ya watu wameandamana katika miji ya Ugiriki ya Athens na Thessaloniki katika siku ya pili ya mgomo wa saa 48, kupinga hatua kali za kiuchumi za serikali.
Polisi wengi wako zamu na usafiri umesimama.

Baraza la mawaziri la Ugiriki limekubali hatua za kupunguza bajeti zaidi, kama yalivoagiza mataifa mengine yananayotumia sarafu ya Euro, ili kuweza kuisaidia Ugiriki kwa dola bilioni kadha, kulipa madeni yake.

Hatua hizo sasa lazima zipate idhini ya bunge la Ugiriki.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda