Usiku wa HIP HOP Ni Machi 4, 2012 Ndani ya Ukumbi wa Dar Live Jijini Dar es Salaam

Meneja Mkuu wa Global Publishers na Mratibu Msaidizi wa tamasha hilo, Abdallah Mrisho akizungumza katika mkutano huo.
Profesa J akitoa vionjo katika mkutano wa leo.
Joh Makini naye akithibitisha kufanya makamuzi ambayo hayajawahi kutokea.
Wanahabari wakifuatilia jambo kwenye mkutano huo.
Mapaparazi wakifanya kazi yao.Picha na Habari na Richard Bukos-GPL
--
Wadau mbalimbali wa muziki wa Hip Hop hapa nchini, Jumapili ya Machi 4 mwaka huu wanatarajiwa kufurika ndani ya ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam kuhudhuria onesho kabambe la Hip Hop. Katika usiku huo wadau mbalimbali waliochangia muziki huu kufikia hapa ulipo watatunukiwa tuzo. Wakali wa muziki huo Profesa J na Joh Makini wamewawakilisha wasanii wenzao wa muziki huo katika mkutano wa kuthibitisha kushiriki tamasha hilo uliofanyika mchana huu ndani ya ofisi za Global Publishers zilizopo Mwenge jijini Dar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.