UZINDUZI WA REDD'S MISS TANZANIA WAFANA DAR

Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania, Steve Kilindo kushoto), Meneja wa kinywaji cha Redds, Victoria Kimaro (kushoto) wakigongeana chupa cha kinywaji hicho, wakati wa uzinduzi wa udhamini wa mashindano ya urembo nchini ya Miss Tanzania, ambayo kuanzia jana sasa yataitwa Redd's Miss Tanzania. Hafla hiyo ilifanyika usiku wa kuamki aleo kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)wa pamoja na warembo waki
Wakiangalia nembo mpya ya Redd's Miss Tanzania itakavyokuwa inaonekana
Baadhi ya wadau wakiwa katika hafla hiyo iliyonogeshwa na Bendi ya Tanzanites. Wa pili kulia ni Meneja Mauzo wa TBL Kanda ya Kusini, Bokela
Kilindo (mwenye shati jeupe) akimwaga kucheza muziki pamoja na warembo

Kilindo (kushoto) akiwa na warembo huku wakiwa na vinywaji Redds
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika hafla hiyo ya kukata na shoka
Viongozi wa kampuni ya Simu ya Zantel, wakifurahia jambo wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Awaich Mawalla ambaye ni Mkuu wa Bidhaa na Mawasiliano wa kampuni hiyo
Miss Tanzania 2011,Salha Israel (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa Kampuni ya Lino Iternational inayoaandaa mashindano hayo


Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Steve Kilindo akihutubia wakati wa uzinduzi wa udhamini huo
Mshereheshaji
Wanahabari nao wakifurahia jambo. Kutoka kulia ni Seleman Mbuguni wa Majira, Somoe Ng'itu wa Nipashe na Khadija Kalili wa Tanzania Daima
Mkurugenzi wa Kianda cha Konyagi Tanzania, David Mgwassa (wa pili kulia) akiwa na baadhi ya viongozi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Kushoto ni Steven Kilindo.
Mkurugenzi wa Kianda cha Konyagi Tanzania, David Mgwassa (kushoto) akizungumza na kiongozi mwenzie
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika hafla hiyo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.