VIONGOZI WA SOMALIA WAKUBALIANA

Viongozi wa Somalia wametia saini mkataba ambao wanataraji utamaliza msuko-suko wa nchi hiyo.

Wanawake watakuwa asili-mia-30 ya wabunge.

Makubaliano hayo yaliyotiwa saini na serikali ya sasa, utawala wa majimbo mawili, na wanamgambo wanaounga mkono serikali, yatajadiliwa juma lijalo, kwenye mkutano wa London kuhusu Somalia.

Lakini kundi la wapiganaji wa Kiislamu, al-Shabaab, ambalo linadhibiti sehemu kubwa ya kati na kusini mwa nchi hiyo, hawakushiriki kwenye makubaliano hayo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda