WANAKIJIJI BUKOBA WALEWA CHAKALI BAADA YA KUFAKAMIA BIA ZILIZOMWAGWA NA LORI LA BIA KUPINDUKA

Mwanakijiji akiwa bwakisi baada ya kujipelekea bia zisizo na idadi.
Ajali hii imetokea barabara ya kibeta maeneo ya Magoti.
Mmiliki wa mali hii ni Ndg Mganyizi mkazi wa Hamugembe Bukoba.
Anaonekana Mama Mganyizi akijaribu kusimamia kile kilichosalia.
Kishindo Cha gari kuanguka kimewakusanya wana kijiji na kushambulia bia kikubwa walicho ambiwa ni kutokuchukua chupa majumbani.
Ajali ni ajali ila ukiangalia eneo la tukio na kilichotokea kiukweli vimepichana kabisa.
Hii ni barabara ilipotokea ajali hii,Mdau unaweza kuona mazingira haya na kile ninachokizungumzia.CHANZO;BLOGU YA BUKOBA WADAU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda