WANAKIJIJI BUKOBA WALEWA CHAKALI BAADA YA KUFAKAMIA BIA ZILIZOMWAGWA NA LORI LA BIA KUPINDUKA

Mwanakijiji akiwa bwakisi baada ya kujipelekea bia zisizo na idadi.
Ajali hii imetokea barabara ya kibeta maeneo ya Magoti.
Mmiliki wa mali hii ni Ndg Mganyizi mkazi wa Hamugembe Bukoba.
Anaonekana Mama Mganyizi akijaribu kusimamia kile kilichosalia.
Kishindo Cha gari kuanguka kimewakusanya wana kijiji na kushambulia bia kikubwa walicho ambiwa ni kutokuchukua chupa majumbani.
Ajali ni ajali ila ukiangalia eneo la tukio na kilichotokea kiukweli vimepichana kabisa.
Hii ni barabara ilipotokea ajali hii,Mdau unaweza kuona mazingira haya na kile ninachokizungumzia.CHANZO;BLOGU YA BUKOBA WADAU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.