WAZIRI AVAMIA MKUTANO WA WAPENZI WA JINSIA MOJA

Waziri mmoja nchini Uganda amevamia warsha ya wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja na kujaribu kumkamata mwandaaji wa shughuli hiyo, limesema gazeti moja la huko na pia kundi la wanaharakati wa haki za binaadam waishio Uingereza.

Waziri wa Maadili na Hadhi Simon Lokodo amesema mkutano huo ni "haramu" na kuamrisha wajumbe wake kutoka nje ya hoteli karibu na mji mkuu Kampala.

Muswada huo unapendekeza kuongeza adhabu nchini Uganda kwa vitendo vya mapenzi ya jinsia moja, ambavyo ni kinyume cha sheria, kutoka kwenda jela miaka 14 hadi kifungo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI