Waziri mmoja nchini Uganda amevamia warsha ya wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja na kujaribu kumkamata mwandaaji wa shughuli hiyo, limesema gazeti moja la huko na pia kundi la wanaharakati wa haki za binaadam waishio Uingereza.
Waziri wa Maadili na Hadhi Simon Lokodo amesema mkutano huo ni "haramu" na kuamrisha wajumbe wake kutoka nje ya hoteli karibu na mji mkuu Kampala.
Muswada huo unapendekeza kuongeza adhabu nchini Uganda kwa vitendo vya mapenzi ya jinsia moja, ambavyo ni kinyume cha sheria, kutoka kwenda jela miaka 14 hadi kifungo
Comments