WAZIRI PONDA APOKEA MSAADA WA VIFAA YA MAABARA NA UPIMAJI UKIMWI KUTOKA UJERUMANI

Mwenyekiti wa Taasisi wa Usambazaji wa Vifaa vya Maabara ya Merck ya Ujerumani, Dk. Karl -Ludwig Kley (kulia), akimkabidhi vifaa vya maabara ndogo, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hadji Mponda, katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam leo. Vifaa hivyo ambavyo vina uwezo wa kugundua dawa feki na kupima virusi vya Ukimwi (VVU) vitasambazwa mikoani.Katikati ni Balozi wa Ujerumani nchini, Klaus-Peter Brandes.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

Wasifu wa Kizza Besigye

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA