WAZIRI PONDA APOKEA MSAADA WA VIFAA YA MAABARA NA UPIMAJI UKIMWI KUTOKA UJERUMANI

Mwenyekiti wa Taasisi wa Usambazaji wa Vifaa vya Maabara ya Merck ya Ujerumani, Dk. Karl -Ludwig Kley (kulia), akimkabidhi vifaa vya maabara ndogo, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hadji Mponda, katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam leo. Vifaa hivyo ambavyo vina uwezo wa kugundua dawa feki na kupima virusi vya Ukimwi (VVU) vitasambazwa mikoani.Katikati ni Balozi wa Ujerumani nchini, Klaus-Peter Brandes.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*