WAZIRI PONDA APOKEA MSAADA WA VIFAA YA MAABARA NA UPIMAJI UKIMWI KUTOKA UJERUMANI

Mwenyekiti wa Taasisi wa Usambazaji wa Vifaa vya Maabara ya Merck ya Ujerumani, Dk. Karl -Ludwig Kley (kulia), akimkabidhi vifaa vya maabara ndogo, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hadji Mponda, katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam leo. Vifaa hivyo ambavyo vina uwezo wa kugundua dawa feki na kupima virusi vya Ukimwi (VVU) vitasambazwa mikoani.Katikati ni Balozi wa Ujerumani nchini, Klaus-Peter Brandes.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎