WAZIRI PONDA APOKEA MSAADA WA VIFAA YA MAABARA NA UPIMAJI UKIMWI KUTOKA UJERUMANI

Mwenyekiti wa Taasisi wa Usambazaji wa Vifaa vya Maabara ya Merck ya Ujerumani, Dk. Karl -Ludwig Kley (kulia), akimkabidhi vifaa vya maabara ndogo, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hadji Mponda, katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam leo. Vifaa hivyo ambavyo vina uwezo wa kugundua dawa feki na kupima virusi vya Ukimwi (VVU) vitasambazwa mikoani.Katikati ni Balozi wa Ujerumani nchini, Klaus-Peter Brandes.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

𝐌𝐉𝐔𝐄 𝐊𝐀𝐂𝐇𝐄𝐑𝐎 𝐌𝐙𝐄𝐍𝐀

PANYA MAGAWA WA SUA TANZANIA AJENGEWA MNARA WA HESHIMA CAMBODIA