LIVERPOOL YAITANDIKA EVERTON 2-1 FA CUP

Mshambualiaji wa Liverpool Luis Suarez akishangilia goli alilofunga dhidi ya Everton.
Add caption

Mshambuliaji wa Liverpool, Andy Carroll (aliyebebwa) akishangilia na Luis Suarez baada ya kufunga bao la pili dhidi ya Everton wakati wa michuano ya FA Cup kwenye Uwanja wa Wembley, leo jijini London, Uingereza. Liverpool imeshinda 2-1.(PICHA NA IMAGE)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE