KWELI KAZI YA UPIGAJI PICHA ZA HABARI SI LELEMAMA

 Mpigapicha wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo, Bashir Nkoromo, akiwa makini kupata matukio katika mkutano wa waandishi wa habari na uongozi wa Kasmpuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji kisicho na kilevi cha Grand Malt, kutangaza  tuzo za 'Exel with Grand Malt"  kwa wanafunzi wa elimu ya juu ikiwa ni mara ya pili kwa tuzo hizo kutolewa ambapo jumla ya sh. milioni 500 zimetengwa kuwazawadia watakaoshinda. Picha zote na kamanda mwaikenda



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO