KWELI KAZI YA UPIGAJI PICHA ZA HABARI SI LELEMAMA

 Mpigapicha wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo, Bashir Nkoromo, akiwa makini kupata matukio katika mkutano wa waandishi wa habari na uongozi wa Kasmpuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji kisicho na kilevi cha Grand Malt, kutangaza  tuzo za 'Exel with Grand Malt"  kwa wanafunzi wa elimu ya juu ikiwa ni mara ya pili kwa tuzo hizo kutolewa ambapo jumla ya sh. milioni 500 zimetengwa kuwazawadia watakaoshinda. Picha zote na kamanda mwaikenda



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*