|
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Superdoll, Seif Seif (kulia) akimuonesha Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Usalama Tanzania, Johanes Kahatano, tairi la kisasa la Michelin Energy XM2 lililotengezwa kuhimili barabara mbalimbali zikiwemo mbovu Afrika Mashariki. Hfala hiyo ya uzinduzi wa uuzaji wa taifri hizo umefanyika asubuhi leo kwenye Hoteli ya Serena, Dar esSalaam.Kushoto ni Meneja wa Kanda wa Michelin, Freddi Stoeffler. |
|
Afande Kahatano, akizungumza na vyombo vya habari baada ya uzinduzi wa tairi hizo. zenye usalama na madhubuti |
|
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Superdoll, Seif Seif (kulia) na Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama barabarani, Kahatano wakiwa na sanamu iliyoshika aina ya tairi hizo |
|
Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa Kampuni ya Superdoll, Ibrahim Juma akitoa shukrani kwa waandishi wa habari baada ya hafla hiyo kumalizika |
Seif (kushoto) na Khatano wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo
Seif Seif akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, wakati wa uzinduzi wa tairi hizo
|
Mkurugenzi Mtendaji wa Superdoll, akizindua rasmi tairi hizo aina ya Michelin Energy XM2 |
|
Freddi akielezea umadhubuti wa tairi hizo |
Sehemu ya wanahabari waiohudhuria uzinduzi huo
Comments