BREAKIIIIING NEWSSSS, WATU 40 WAFA KWA KUKOSA HEWA WAKISAFIRISHWA KWENYE KONTENA DODOMA

WATU 40 wanaosadikiwa kuwa raia wa kigeni wadaiwa kufa kwa kukosa hewa wa wakisafirishwa  kwenye kontena wilayani Kongwa, Dodoma leo.

Inadaiwa baadhi wamenusurika lakini wako hoi wamekimbizwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma. Haijajulikana watu hao walikuwa wanatoka nchi gani na wanapelekwa nchi gani.

Kamanda wa Matukio inawaahidi kuwaletea habari zaidi juu ya tukio hilo kwa kadri itakavyokuwa inazipata kutoka Dodoma.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾