DK ULIMBOKA APELEKWA KUTIBIWA NJE YA NCHI

Madaktatri na wauguzi wakisukuma ambulance iliyokuwa imembeba, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyakazi, Dk. Steven Ulimboka, alipofikishwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam, baada ya kutekwa na kupigwa na watu wasiojulikana Jumatano Usiku na kutupwa usiku wa Pande, Dar es Salaam.

Dk. Ulimboka amesafishwa leo kwenda India kwa matibabu zaidi baada ya kuonekana hali kuwa mbaya. Gharama za kumtibu akiwa India ni Dola za Kimarekani 40,000.

Ameondoka akiwa chini ya ulinzi mkali wa Madaktari. huku wanaharakati wenye mabango ya kulaani unyama aliofanyiwa Ulimboka wakijitokeza Muhimbili na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salam.

Haikuweza kufahamika mara moja ni nchi gani hasa atapelekwa kutibiwa. Lakini fununu ni kwamba anaweza kupelekwa India au Afrika Kusini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI