MUSTAFA HASSANALI AWAZAWADIA WASHINDI MISS DAR INTERCOLLEGE 2012

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Mustafa akimkabidhi zawadi ya gauni lenye thamani ya shilingi 500,000 Miss Dar Intercollege 2012 Hilda Edward ofisini kwake leo, anayeshuhudia ni mratibu wa shindano hilo, Dina Ismail.

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Mustafa akimkabidhi zawadi ya gauni lenye thamani ya shilingi 300,000 Mshindi wa pili wa Miss Dar Intercollege 2012 Jamila Hassanofisini kwake leo, anayeshuhudia ni mratibu wa shindano hilo, Dina Ismail.
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Mustafa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa kitongoji cha Miss Dar Intercollege katika shindano la Miss Higher Learning 2012, Hilda Edward na mshindi wa pili Jamila Hassan pamoja na mratibu Dina Ismail ofisini kwake leo,

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI